Jana jioni nikitulia kwa keja pale mwihoko nilikua naskiza riddim alafu kidogo phone ikalia. Dem alikua anafaa kuniletea mizogo alikua anacall. Nikapick fone tukabonga ma 1-2 kidogo kidogo akanishow ati kwao (Kasarani) kunanyesha ati nimtumie Über ndio akam. Mimi sijawahi panda Über ati nilipie mzoga Über? Nikazima simu nikawasha tv kuwatch Netflix (movie za dj Afro) kidogo kidogo mvua ikaanza kunyesha ju nyumba ni za mabati kulikua Na Sauti ya mabati. Mlango ikabishwa nikakimbia kufungua na speed ya bullet ka ya M16 , kumbe ni dem neighbour akanigotea na kuniambia nikae na mtoi wake ju ako na mgeni. Kidogo kidogo nikaskia OOOOOOOOH HAPOOOOO WOOOOOOOI KANYAGIA HAPO BRATHE, TOA BRATHE RUDISHA, ROMBOSHA. PANDA JU YA STOOL JU WEWE NI MFUPI KAMA @Panyastenikachikua beats by Dre zangu imbo nikaweka mtoi Kwa kichwa. Saa hio mabati side yangu iko Na dent ya sura ya jamaa anakaa @Makonika
Hii story ulishatuambia.
Diep.
[ATTACH=full]228542[/ATTACH]
shakeh ni ngapi uko sai hapo area ya kiriri au st.kizito?50*100
Hehe … hio riba hapo juu ni ya uwongo
Mujamaa hapa umenikanganya … a few threads below wewe ndo ulienda kwa single mother pale mwiki. Sai ati wewe unaishi Mwiki na the same singo madha amekuletea mjunia ndo akabinjwe … please make up your mind kama ni wewe ama si wewe. Jinga
[ATTACH=full]228556[/ATTACH]
noticed this too…but wqhy
This guy is on cheap mihadarati chyeth
Admin, tuma hii jamaa siberia
i second the siberia option uwezi confuse matusi ya elders chieth
Nyumba ya mabati na unaendesha Lexus? Apana ndugu yangu!
Hio yake is more of a Legsus
kuna mahali nilikuwa naishi signomatha ikanikatia. Vyenye nilikuwa nimeipee heshima nilifeel kutapika. Have never been so disgusted in my life
:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D
Si ulete hekaya Zako ukikamuliwa na ngamia za Abu hapa. Meffi
Haha … mimi ndo nazikamuaga
So , tuseme Kuna tu Kush ngamia juniors
Inshallah by next month, kwanza ma twins