Looking to purchase an Engine

Does anyone deal with importation of engines specifically lorries from India? I am looking to import one for a Tata 2516. If you are in this line or know anyone who is rusha contacts niwanukishie kitunguu.

Makanika murefi unaweza saidia? Nitakulipa in barrels of your favourite mvinyo…

Smuggler @incognitus unaitwa

Zii.
Hapa siwezi saidia ndugu.

Si unichoree moja nipatie dere atulie kwanza?? Anajua waks imeisha…

I have an 2kd engine for sale.

hiyo enda tengeneza kisiagi nayo

:D:D:D wah

@Randy lete kiherehere kipande hii,ningekusaidia lakini randy goat itaharibu biashara

acha ufala. saidia if you can…otherwise take a hike! If i recall correctly, @Randy called you out after you gave some crazy quotes and you decided to catch serious feelings instead of kukubali ulipatikana. [SIZE=1]pia punguza umama[/SIZE]

hehehe sande sana kwa hii sweep :D:D:D:D:D

Hizo tata kwani what are they made of? Zinasumbua sana. BTW yako ilikuwa kwa mchina pia?

Uko na moja? :slight_smile:
Hapana siwezi fanyia mchina kazi. Hiyo ni hasara tupu. Gari itaharibiwa na pesa ni kidogo.

Yako imemaliza loan? :smiley:

Those savages…:mad::mad:

Hehe, they really fixed Peeps. Watu huku nje wanalia sana

Najua. Ebu sasa leta engine kitunguu lazima inuke bro

humber,si uende ukatafute kule ulinunua hio tata, ama uliinunua kwa butchery,?

i repeat, umama peleka hukooooo --------------------------->

Mimi sio makanika wa tugari

hehehe acha ufala. ama nikuitie hao watu wa loan? :D:D:D