tangu kalasinga wangu atuambie kutoka Jana hakuna kazi mpaka Monday nilifurahi but sa hizi ndio naona kumbe Ile githeri tunakulanga hapo kwa mama Njoro ya 40 na avovado ni poa sana Na huku tao sasa haiko....
Saidieni Mimi mahali nitakula chakula ya less than 100 Hii tao... Na ikue chakula nitashiba vizuri nikiingia pale somer set jioni kunywa keg haitaniangusha!!!
Sandeni
Saidieni Mimi mahali nitakula chakula ya less than 100 Hii tao... Na ikue chakula nitashiba vizuri nikiingia pale somer set jioni kunywa keg haitaniangusha!!!
Sandeni