Wadau mnakula nini for lunch,mahali niko kila kitu ni nyama nyama…Sitaki hiyo jina nyama karibu na mimi.
[ATTACH=full]249719[/ATTACH]
Juzi Kimakia Thinwa ilishikwa. Sijui kama uliona?
Sima na samaki na kachumbari.
siagisha unga namba 2.
badilisha mboga daily.
thats how men eat