K
Two weeks ago tumbo ilianza ujinga.Kujaa hewa ovyo ovyo.Mimi nikikaaa kitako nafanya kazi zangu mara nasikia kundechu.
Kama kawaida naenda kwa choo nikishakalia ile bakuli nianze business yangu hakuna shit inatoka ile tu hewa ingine mingi sana.Ikishatoka nasikia mzuri narudi shughuli zangu.
Then after kitu kama lisaa limoja the same thing happens,worse inahappen saa zingine nikiwa in the middle of a deal.
Nini mbaya na mimi ama na tumbo yangu.
Tafadhali saidia
Asande in advance
Kama kawaida naenda kwa choo nikishakalia ile bakuli nianze business yangu hakuna shit inatoka ile tu hewa ingine mingi sana.Ikishatoka nasikia mzuri narudi shughuli zangu.
Then after kitu kama lisaa limoja the same thing happens,worse inahappen saa zingine nikiwa in the middle of a deal.
Nini mbaya na mimi ama na tumbo yangu.
Tafadhali saidia
Asande in advance