Maalim Xuma

Tangu uhepe hizi mitaa kiswahili was massacred over 1000 times na akina @It’s Le Scumbag na wenzake.
Swali langu ni je
Google kwa kiswahili ni nini

Useless

Google ni Guglu ama iko shida

Village chieth mzima pia anapost mafwi namna hii?

noogli

Kisaguzi.
Hata miye nguli wa lugha

‘Google’ ni jina la kampuni na halikuwa na uiwiano wowote na kazi ya kampuni mama; lakini baada ya muda, wengi wame sawazisha jina hilo na kazi yenyewe ya kutafuta na kusakura kwenye mtandao.
Hatufai kusema tuna ‘Google’ bali tuna tafuta (search) ama tunasakura(browse).
Kwa mfano hatuwezi kusema tuna ‘Mozilla Firefox’ ama tuna ‘Chrome’.

weeh…ok.

Mother company, aise! Wewe mswahili bonoko kweli kweli.

Utohozi wa moja kwa moja unakubalika kwa magwiji na wakwasi wa lugha hino.

Welcome back Mwalimu.

Mwalimu ,hebu tweleze , threshold ya ktalk inaitwa aje na kiswahili

Kiswahili kifukuzwe…ara?

@Meria Mata Google ni guguli. Na uwache kusumbuana wasito wakifanya hesabu ya vile wata evade KRA.

Nguli ama gwiji

A

Ahsante.

How do you pronounce your handle kuma?

'K-z-u-ma

Ama …Zuma kwa wale wana shida za matamshi kutokana na lahaja au mazingara.

Threshold ni ‘Kizingiti’ kinachoashiria mwanzo wa kitu au mwisho wa kitu.

Samahani nitawaachia ‘Wadhamini wa Kijiji’ al maarufumaarufu ‘masponsor’ watueleze ‘kizingiti’ cha Kenyatalk ki wapi!!!