Mabaharia tushaelewa nini kinachoendeleaa...... Hawa ni wavuvi wa kujitegemea

[ATTACH=full]180377[/ATTACH]

Hii style ya kuogelea inaitwaje Mkuu? Yule jamaa kafananaa na swebe Santana!

@ze-dudu nisaidie, huyo mhanga Hapo Amalia ama anacheka?

Anachekelea kitu kiko chumvini.

:oops::oops::oops: Hmm!.. Watakuwa wanavua papa…

Ebhana eeh!

Ze dudu anafanya kazi yake

Hivyo vya njano njano naona mtaro umezibuliwa mpaka umetema.

Hivi inawezekana kwenye maji ya kina kirefu hivyo???

Mi naona kafanana na babu wa kibamia.

Itakuwa huyo mvuvi wa nyuma anaopoa pweza.

Hahahaaa duniani kuna mambo

inawezekana tena mwambie jamaa akufanyie ivyo

Samahani kwa kuchelewa kufika kwenye huu uzi… tehteehhh
Naomba kuwasilisha

Kawia, Ufike

Hii inapendeza kuwa cover ya wimbo wa gigy “nampa papa”

Mmh