Mabingwa wa Kiswahili kujeni hapa

Obamas Plane is code
named ‘Airforce one’ kwa kiswahili
inaweza kuitwa aje?

1 Like

Nguvu Angani Nambari Moja.

Ndege ya Obama.

2 Likes

Truth is that jina lenyewe litakua cumbersome kulitamka!

hheeheheheh, jaribu tu, lets see what you got

Airforcii moja!

FTA

Hewalazima Moja…and no my education wasn’t a waste of time

1 Like

N while you all at it,can someone please tell me how to say this in Kiswahili “An aeroplane is not a bird”.
Asande.

PS. @Meria Mata sorry for “butting” into ya post. But mabingwa lazima waulizwe.

1 Like

Nguvu Moja Hewani

1 Like

Nice avatar. Naweza pata wapi kama hiyo?

2 Likes

https://m.facebook.com/profile.php?id=360463580692808

Sio mabingwa, wanajulikana kama magwiji.

1 Like

wewe ni Bingwa ama Gwiji?

Mimi ni gwiji, mabingwa wapatikana kwenye spoti.

1 Like

@Mathice stupid. Jibu swali wacha kujidai bure hapa

Kikosi Hewa Mosi.

Happy now?

1 Like

heheheheehehehe, umevuta au umekunywa nini saa hii?
have you read what you have written?

1 Like

@le scumbag .Katika muktadha wako lazima tuwe na uhakiki ili tuweze kubainisha kinagaubaga hivyo vitu viwili tunavyo guzia.Mathalani,twaweza tohoa moja kwa moja kama ‘Eropleni si ndege mnyama’. Ama 'Ndege wa kuabiri angani si ndege(nyuni).

1 Like

@Meria Mata …Kwa vile jina ‘Airforce 1’ lina asili ya kijeshi, twaweza kulitafsiri tukifuatilia huo huo mwelekeo n kusema 'Mwana Anga wa kwanza au ‘Mwana Anga 1’.Hii ni kwa sababu inambeba Amiri Jeshi Mkuu na pia vilevile mwanajeshi wa anga nambari moja.

1 Like

shuran ndugu, asante sana na karibu kwa hii kijiji
@Mathice njoo ukutane na gwiji