Mabinti wa Kikenya mkuje tuyajenge.

Jamani ujirani mwema ni jambo Jema…najua mabinti wa Kikenya wanapita huku tuchikiane basi inbox tuyajenge…kule kwetu Tanzania ardhi ya kumwaga…you’re welcome.

Na mimi ngoja nikaribie nipate mbebezi wa pili kutoka ugenini

Mkuu huogopi? Wabongo Kwa wivu ngoja waje…

duuuu na mm ngoja nijaribu bahati yangu hapa.

Napambana nao hivyo mkuu

Ngoja niweke kambi niwasubiri

Jiandae kupambana na ngeli zao za kiswahili:D:D:D:D

Watatuelewa tu. Tutawa tichi

Wanazingua sana maana wanatoa matusi sana

:D:D:D:Demoji ya kicheko kama ensuka

:p:p:p:p:p:p:p:p:p

hah

hahaaaaaaa niliona tusi la mmoja kwenye ile thread uliyoanzisha

:p:p:p:p:p:p:p:p:p

Ngoja mie niwazoom

mademu wa kikenya njooni maana ma handsome wa Tanzania ndio tushawavamia hivyo…

Ngoja turu

turudi home

akiii jf yetu irudi huku naitwa villager mimi
Mimi nipo town mwaka wa kumi huu naitwa villager?

Nishapamiss nyumbani kwa kweli…

Tunarudi vipi jamaniii…

Ndio maana wamekuita new villager eeh,juu umetoka mjini sa hii