Mabudaa.. esp. wale wametrapiwa na ball,skizeni

Mabeshte wangu mob mtaani wametegwa na madem.Ile kusetiwa na dem anapata ball alafu lazima tena umuoe.Nimenotice vitu kadhaa:

1.Hao madem huwanga watu mashida shida hivi(chokosh),so wakipata ninja ako na tuchapaa,wanaona wameangukia.
2.Madem kama hawa hawananga vision ya life,yaani future yake yote ni giza tupu.Asipozaa hakuna kitu ingine ya maana anaweza fanya in life.
3.Hawa madem huwanga lazy sana,isipokuwa kufua nguo na kuosha nyumba.Hakuna kazi ingine wanaweza fanya.Hata ukimfungulia biz,itazama.
4.Akishazaa kuwa ready kucheswa brathe,juu atakaa akitafta upgrade hata kama muko pamoja.

Pia wazito mkumbuke kitu moja,hautawai endelea maishani kama unalea mtu mzima(bibi).Pia yeye ako na mikono mbili kama wewe,anaweza tafuta job mpate more income.Kama job ni kukaa kwa nyumba na watoi,peleka yeye ocha.

http://photos1.meetupstatic.com/photos/event/e/3/4/highres_6003636.jpeg

36 Likes

I never thought a day would come nilike kitu umepost…lakini leo nimekupea like…ningeongeza kama nina uwezo

5 Likes

Is it that wanaume mna shida nyingi hivi or is it that wanawake tuko na high tolerance to problems, life challenges and all manner of bullshit in general?

3 Likes

Kwani kazi ya mama ni nini si nikuzaa kama hazai unafanya nini na yeye?

Buda watu huketi wanapanga venye wataanza familia na vile watailisha,sio ambush.Kama mko ready kupata watoi iko sawa,lakini kama ni kutegwa unategwa haifai

5 Likes

Kile sielewi hapa ni mtu anatrap-iwa aje?Ukikula chokosh kavu be prepared for the consequences. Maninja wa kuruka ball ndo huanzaga hiyo story. Kulea mwanao si lazima uishi na mamake. Na ka huezi lea options ni tatu. Abstain. Use Contraceptives. Wank.

3 Likes

mbona nahisi machungu yakibubujika kwenye maandishi yako?

1 Like

So when you have unprotected sex, multiple times and you are aware the woman in question is not on birth control, or the fact that birth control is not always 100% effective, what is it do you think will happen?

1 Like

kama [SIZE=1]ki-[/SIZE]mtu [SIZE=1]kin[/SIZE]anajua no. 1 to 4, hisi sako, kwanini kusimamicha kitarimbo [SIZE=1]k[/SIZE]yake [SIZE=1]kiki[/SIZE]akijua visuuuri SIZE=1[/SIZE]atawesa kutrapiwo??
[ATTACH=full]34096[/ATTACH]

3 Likes

Wacheni tujazee hi nchi myamaa ,kwani iko nini

Nonsense

A man made the choice to impregnate a woman.

Who forced you to engage anything with her if she doesn’t fit your ideal woman qualities?

2 Likes

now villager umenena

2 Likes

Hood rat detected. Women worth shit control their reproduction and decide when to have kids. Fucking Yeah, I said it!

8 Likes

BOSS!wewe haujui hawa watu, wengine naskia ukimwaga kwa cd utupe kwa dustbin, anaichukua na kujiseti ndani kisha unaambiwa ati Ps hazijakuja.

4 Likes

Hapo umenena brathe…Pewa mbili baridi

Well, birds of a feather flock together. I ought to leave hood rats to fester in their problems.

hizi peasant problems muwache bana. if you cant provide dont procreate!

1 Like

@Father Figure

These guys want women to work! Blasphemy! :eek::eek::eek::eek::eek::eek::eek::eek::eek::eek:

hawa ni wanaume kama mabinti… Alafu waanze kulalamika wanawake wamemea pembe… na wakiambiwa wasaidie kuosha mtoto ama kufagia nyumba watasema hiyo si kazi ya wanaume… WORTHLESS is thy man who can’t provide for his family… Raising kids is not a joke so never despise a woman who does this full time…

3 Likes

Nilihepa hiyo trap mtu wangu so I will never make such a mistake…madem kama hao unawashow waketi --------------------------------------------------------------------->

1 Like