Nimesoma ma-coments zenu kwa post yangu na nimepata mawaidha poa.
Ukweli umesemwa, mwanaume hafai kuongozwa ama kupotoshwa na mwanamke, ni muhimu pia wazito tukumbuke wasupa wako na agenda yao tofauti.Goal ya msupa kwa life inaweza kuwa kupata tu watoi, regardless kama ataishi kwa nyumba ya mabati.
Budaa mtu wangu labda goal yako ni kuendesha hummer ama range rover, ukifuata fikira za msupa umekosa njia.Yaani in short amekushukisha bei, kama msupa anataka mtoi na wewe hauko tayari, yafaa tu muachane roho safi…
Kusema ukweli msupa kama huyo hamuko level moja kiakili, huyo mtu atashukisha life yako.Mimi nimelelewa ghetto na naelewa vyenye nasema, hakuna mtu anafaa akushukishe, wazazi wako walikusomesha ili ukuwe msee mkubwa kwa society, msupa ndio anajua kuliko wazazi wako?
Chungeni mabudaa, kama mtu hana vision ya life yake… Asikufanye upoteze yako.