Ukipokuwa A level uliwapenda handsome boys. Ulipo toka nao ulijikuta mko wawili au watatu kwa jamaa. You never had a stable relationship.
Ulipokuwa chuo dream zako ilikuwa kuolewa na mwanaume mwenye Masters, kazi nzuri, na stable life. Hivi unafikiri mpaka amepata vyote hivyo hakuwa anaona wasichana wengine? Labda iwe bahati yako awe ame break up na mtu mwingine.
Sasa umeajiriwa na umefikisha 30+. Una lipa rent kwenye apartment yako unajiita independent woman. Ukimpata anaekupenda mwangalie mara mbili. Au unasubiri umpate managing director? Mwisho utaishia old people home ukiwa miss Bantu.
Ni kweli. Wakubali tu kuanzia chini. “Tafuta na wako” usitegemee iliyo tayari
Wacha wachague…mwishowe watakuwa single mother
Haya Maisha Bana…
kuna muda ukifika bora useme liwalo na liwe
Nakuona nakuona,nafurahi kukuona tena Sky
Ujumbe maridhawa huu ,la sivyo watatumika sana tu
uhalisia unakuaga mgumu sana
kwa iyo niendelee kusubiria tu eeeh huo muda ufike
subiri tu si unaona shilole kajioa
Kazi kweli kweli
Hahahaha
Waambiee mama
ndio kumbe je?maana rika lako wanakua washawahiwa
mimi kuna mmoja hapa akifikisha 30 ndio akili itamkaa sawa…
Mambo yao waachie wenyewe…
Wakifika 30+ alafu bado kuolewa wanakuwaga na visirani sana na chuki…
Cc: @Mahondaw
Duuh.
Hahaha
Ha
Halafu awe tayari ana kid na MTU katoweka
Umri Wa stress huo.