Madame Nyinyi..

Mara ooh mimba haitaki harufu ya kitunguu, mara ooh mimba yangu imechukia kuenda Nairobi…
Mbona hizi mimba hazikatai pesa za noti na mashilingi???

7 Likes

Hebu shika mimba uje utueleze vizuri

25 Likes

Vile huyu hapa amesema.

5 Likes

^^.vile umeambiwa hapo juu na uongeze kushika Fruu Cha Fruu Chaaaa

2 Likes

Vile sponsor amesema hapo juu ^^^

2 Likes

Yea, meffi yeye!

1 Like

vile jamaa Wa offer amesema ^^^^

4 Likes

Huyu anakaa kama ule mungiki bonoko wa dubai.

4 Likes

unataka kusema ngamia imekataa kula nappier grass juu iko na mimba??

4 Likes

Vile @Chloe amesema

ebu muambie sis

:D:D:D:D:D:D:D

una ogopa kusema ni @kush yule mnono :D:D:D:D:D:D:eek:

2 Likes

Si huyo, kush kumwita hivyo ni matusi.

1 Like

kabisa. kush hawezi kuwa brainwashed mungiki. he is better than that

1 Like

.

Maybe wewe ni mmoja wa wale walikuwa wana report shule kesho ju ni Kama hauna huruma ,.

mara anataka kunusa duster @Chloe tueleze

1 Like

Most ni instincts za mtoi zina-overrule za mathe…and we all like money.

1 Like

vile wamesema …BTW nilikua nakaangia kitunguu kwa neighbour au naweka natoka Iive alafu nacome nimeweka kile na pika…

1 Like