Madhe wa Kuosha Nguo

Chifu

Village Elder
#28
Mi hujifulia tu ka wewe. But when someone knocks requesting for that service, I have always accepted her requests.
One lady came when I didn't have anything to be cleaned. I declined but she asked for 20bob ju alikuwa mwisho.
 
#40
Mimi hiyo kuzoeana sipendi, wacha waseme mimi mbaya. Unahurumia mtu unampa 50bob ya lunch, anaanza kukuletea mashida zake zote, ju ameona unaeza toboka. Mara mtoto wake amekuwa admitted, mara kijana wake anaenda college na watakuwa na harambee Sunday, mara kanisa inajengwa usaidie penye utaweza ndio mungu akubariki, mara sister yake anafanya harusi, mara bwanake alipigwa na wezi ikabidi afanyiwe surgery, sasa ni kuchangisha hospital bill....aaaaaargh!!
Kama sineed services za mtu mi humwambia roho safi, bila kucheka na yeye.
 
Top