Magoli ya Ronaldo

Habari wana jf katika nchi ya uhamishoni,
Hivi Goli la pili na goli la tatu aliyofunga Ronaldo ni uzembe wa De gea au ni ubora wa mpigaji…!?

ile penalty ureno walipewa-hata wale wachambuaji wa mpra wa DSTV walisema ni brace
goli la 2 na 3 ni uembe wa de gea-fara sana

Ni magoli halali kabisaaaa

Sure asee yale magoli kafungwa uzembe saana yaani, especially lile la pili…

Sio kwa lile goli la kwanza la penalty… upendeleo ulitumika pale

Kila goli la penati lazima lizue malalamiko

wakati wa maandalizi ya kombe la dunia, degea aliwaambiwa makipa wenzake kua mpira wa mara hii unateleza, hivo kipa kabla ya kuudaka aweke guard ya mguu. na yeye amefanya the same lakini mpira umempita hivi hivi.

Goli la pili ni uzembe wa Degea

Na LA Leo?