MAISHA ya DADA zetu WHATSAPP, FACEBOOK na INSTAGRAM

MAISHA ya DADA zetu WHATSAPP, FACEBOOK na INSTAGRAM
Wiki ya kwanza
Status:“Location flani amazing”
“Having fun”
“I love my life”
“sijali mnayosema nafanya nachotaka”
BAADA YA MIEZI MIWILI
STATUS:“Binadamu wengi ni wasaliti”
“trust nobody”
“Na hili nalo litapita”
BAADA YA MIEZI SITA
Status:“Yesu wewe ndio rafiki wa kweli”
“Bwana ndiye mchungaji wangu”
BAADA YA MIEZI TISA NA KIDOGO
STATUS: "Nakupenda mwanangu

hahahaaaa…Define Specialization

Heheh!! Wanaenda na mabadiriko ya hali ya hewa

Ile status ya kwanza na ya mwisho zina uhusiano mkubwa sana. Hebu zitafakari kwa makini

Ukiona manyoya ujue keshaliwa

circle!.. wakifika mwish wanaanza upya.

Busy
Urgent calls only
Hey there, I’m using WhatsApp
Sleep

inaukweli flani hivi so wawe makini zaidi ya hapo

Ukisikia mtu kapiga ukelele gizani ujue jiwe limempata…

Eeh status lazima ibadilike bhana.

Mbona haujaweka ya dadazetu wa Jf…???

Busy

Haaaaaaaahaaaa

Fact

Status itayofuata hapo “Najivunia kuwa Single mother”

Hahhahahaha

Akiweka uni tagi