Maisha ya siku hizi ovyo sana

Maisha ya zama hizi ni shiida,mkeo analetwa na mshikaji mpaka mlangoni na gari,ukimuuliza anakujibu kiulaini uber hiyo

Mambo ya Dar hayo

Hahaha hata huku nairobi yapo

Kumbe Uber wapo hadi huko Kenya!! hahaha safi sana

Hahaha
Uber ni nzuri sana

Haaaaaa hadi wew

Raia Nowdays Wajasiri Sana Wanakutombea Na Mlangoni Wanakuletea

Hahahaha
Kwani uber hainifai ama?! Kuna mpaka Prado za uber

kurudi na gari ya jamaa kwa kusingizia uber

Usiseme ya jamaa sema uber

Uber katika ubora wenu

Tutajapata na mimba za “uber”

Hahaaa. Lol.

Ndio muwanunuliage magari yao sasa sababu wameshaanza kujiongeza na bila hivyo Mtapata tabu sana.

Hahahaaa. Hasaaaa.

Ila kwa mbaali naona Uber sio tatizo ujue tatizo lipo kwa wale wanaozitumia hizo Uber vibaya.

Hahahaa. Lol.

hahahahaaa hv dawa ya kuzuia wivu haijapatikana tu…

Ipo mkuu

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kweli mdogo wangu sasa kama magari hawawanunulii , na wanawake wao hawataki kubanana kwenye hiace ndio sababu wamejiongeza kupanda Uber bado wanalalamika.

Sijui lipi jema sasa.