Wakuu Habari.
Huu ni uzi maalum kwaajili ya makapuku wote wa JF.
Lengo ni kujadiliana kuhusu changamoto mbalimbali,kupeana michongo ya maisha na soga za hapa na pale.
Shukrani kwa Founder wa Makapuku Forum Dada @Shunie.
Nawasilisha…
Wakuu Habari.
Huu ni uzi maalum kwaajili ya makapuku wote wa JF.
Lengo ni kujadiliana kuhusu changamoto mbalimbali,kupeana michongo ya maisha na soga za hapa na pale.
Shukrani kwa Founder wa Makapuku Forum Dada @Shunie.
Nawasilisha…
Asante sana mkuu wangu ubarikiwe mnooo kwa kutuletea uzi wetu
@Sakayo
@mumu
@Mzigua90
@Dinazarde
@inna
@Demiss
Na wengineo
Afadhali sasa
Abeeeeeeeee
Habari yako D
Tumoo yuko wapi jamanii
Hahhaha afadhali ya nn
S
salama S kwema?
Tumo hayuko online akiingia atakutana na ujumbe wangu
Afadhali nitamuona Tumosa wangu
Kwema kabisaaa bwana shemeji
Ooooh akuje tuu aki
Hahaha wewe mzee wa dushe na papuchi una mambo sana atakuja faster nimemwambia amlete na moneytalk mana wapo karibu
Mwifwa bwana kweli bongo movie kashindwa mleta mbebez wake
Atakuja
Heeh! Kumbe hadi huku ushemeji upo?
Hahah!! Akuje tu kwakweli umtafute na Mbalizi
Kwahiyo huku upo na mpango wa kutafuta mbebez mwingine
Hahaha
Nilisahau
Labda anataka apate mkeii
Jamani mbalizi hata sijui nitampata wapi