Mambo Uswazi

What’s your favourite Line in the song…[ATTACH=full]167802[/ATTACH]

Unataka vya pool table

“Tema mate…Niteleze”

watoi warudi shule mimi ata sijui wimbo kama hiyo unless nipewe chorus

wazee pia wanunue “ka-shiro” kashungwa na retirement benefits wanyonywe pole pole

kama nyoka pangoni.
:D:D:D:D:D:D:D:D:D
Maina Kagayni akiichez anamalizia 'Diamond wi munanu muno.