Mandhari ya miundombinu ya DART mwendokasi

[ATTACH=full]175411[/ATTACH][ATTACH=full]175412[/ATTACH][ATTACH=full]175413[/ATTACH][ATTACH=full]175414[/ATTACH][ATTACH=full]175415[/ATTACH][ATTACH=full]175416[/ATTACH][ATTACH=full]175417[/ATTACH][ATTACH=full]175418[/ATTACH]

Very nice. I’ll definitely visit Bongo one day.

Twende kazi

Hii uzi ina husu nini?

Asiye jua maana haambiwi maana

anzisha uzi wa sgr tz ushushe mipicha, tutamtag mzee @mk254 aka mzee @lawmaina78 atoe povuuuu la omo!!

Sio hii uzi wewe, ni huu uzi

msukule wa ccm

Karibu bro. Sote marafiki

naona yale mambo ya battle mnataka kuyaleta hadi huku.

Unanikumbusha mambo ya “ONLY BRT” Wakenya bhana

Hahaha lazima tukinukishe jasiri haachi asili

Ngoja kikosi chetu kitimie

Sawa mwalimu.Lakini ukishinda ukikosoa watu hapa utachoka.Hatutumii kiswahili sanifu hapa.Bora mtu ameelewa kenye mwingine amesema.Sio mtihani tunasomea.

you are welcome Boss. One EAC one people.

Mmoja mmojaaaaaaaaaaaaaaaa

Huu mradi umeshakufa…msiupambe sana…

Na ndio maana makondakta wake juzi walitoa offer ya kusafirisha bure abiria. kama mbwai mbwai

Mleta mada anaweka mapicha picha anadhani mapicha ndo ubora wa huduma.

Iko vizuri sana…

kabisa mapicha siyo ubora wa huduma watu walipiga pesa ndefu kwenye ujunzi wa huo mradi bure kabisa aise.