Masoud kaamka na Samaki

Masoud kaamka na Samaki

Hako kajinias kanakofeli darasani mmh

Ndio sijaelewa!

Tusubiri majinias wapite hapa kaka

Ni kweli. Masoud anatumia akili nyingi sana. Si umeona shati lake hilo?

Kufeli Darasani siyo kufeli Maisha…Na ndiyo maana Masoud anapenda na kuzikubali ‘‘Movi’’ zake…!!!

KAma bwakila na babake vile

wale jamaa nao chenga sana!

duh…

Kijiniaz

Nimekuja kukuza picha tu…
Naomba kuwasilisha…[ATTACH=full]180030[/ATTACH]

leo ndio nimejigundua sio gthinker yan sijamwelewa kabisa masoud nyuma ya paazia

Atakuwa analinanga jiwe kimtindo

Masoud bhana