Mayakos 7s

Last year we were disappointed vile it took 12 hrs to drive from Nairobi to mayakos for the event coz we went on sato saa nane . This time around hii momo yellow ya MKU MKAMBA ndio naenda nayo kesho saa Sita . Uzuri madam ameenda kimilili kuangalia maendeleo {kina bukusu shephard}. Friday na Monday NIKO leave. Hii MOMO ni yellow mpaka naogopa kupost oldmonk aniban but Tuesday HEHEHE kenyagen naweka ndethe pics.

vuja De tunaingia kwenyu ntakua na spin Forrester ya 2009

1 Like

[ATTACH=full]8422[/ATTACH]

5 Likes

Niokote na momo wangu hapo mombasa road tuende

1 Like

Safi sana anko, si uchape sub ukimaliza, siwesmind.

DEORRO hapo cabanas sawa

[ATTACH=full]8428[/ATTACH]

tunaingia

1 Like

Sasa unaleta bukusu shepherd Nairobi ifanye nini
[ATTACH=full]8430[/ATTACH]

7 Likes

HEHEHE VUJADE NEVER DISAPPOINTS

Ha ha a Hoya …Omwami huyo umetoa kwa internet:rolleyes::rolleyes:

Uwesmake nikileta momo wawili utabuy Gilbeys?

Swafi omwami. Lakini chunga mafisi wako rada hiyo mtaa. Ukikunywa Jameson nyingi watapita na hiyo momo.

[ATTACH=full]8446[/ATTACH] Nani atapitia ya Northern bypass…aniokote pia.Niko na hii

1 Like

huyo nitakuibia uncle tuende naye hapo peoples park tushikane mikono

Uncle wutang niko ridho .

Mrembo PURR omwami ni jina ya kina pamba (wazee hivihivi) mimi ni kijana na niko na hio kitu purr.

VUJADE round hii ni Jameson GILBEYS ninaacha Nairobi

Ice cube hauwes nimeweka lien yaani id card, Handbag, simu , zote nafungia kwa room akinitoka nachomoka na kila kitu anitafute one month.

4 Likes

leti pesa tu book rooms na mapema niko masaku

Momo yako iko sawa…

Btw m245 umeongea point

1 Like

Diffre momos nimekamua for ten years so najua kuselect kisniper

basi wewe ni kidnapper