Leo maadam sitoi tiba, nimeamua kuenda Nairobi kutembelea kina luther, na ule jamaa wao amenyolewa kipara. The Beast Mazda Sleeper Bespoke Carol, aka Duma wa Lami, anakanyaga hizo kilometer zote mpaka Nairobi.
@introvert nikimalizana na kina luther naja kwako kuna issue mingi sana tunafaa kusettle, na by the time nitoke kwako uende kwa kioo uhesabu nywele zako zote kama ziko sawa. oh kabla ni sahau kuna mzungu flani hapa anataka kuniuzia kiparare chengine kinajiita R1200 Adventure, unaijua hiyo?
Hehehe.
Karibu sana Mrogi.
Ungetuma tu Carol ije kama parcel uichukue Modern Coast jioni but isorait.
Hiyo R1200 si mchezo. Hawa watoto wakitimia wataninunulia.
Nilifika R850 nikajiona mimi ni birrionaire.
[ATTACH=full]83575[/ATTACH]
Baaaaasi ndio huyo parare mwenyewe. Mujerumani ni kama ananipee sare. Ile bei anatoa, ni mchezo sana. Jamaa amekuwa heartbroken na kimalaya chake ameamua kurudi kwao. Kenya inamnukia meffi.
Itapiga tuu… Na what’s so valuable na ECU box Ya MAN trucks, zinaibwo sana?
:D:D Enyewe Hii lugha ilikuja na meli, Jana iko mtu naambia Mimi ati naongea kiembu kiswahili, naambia yeye kwetu kilifika na funds Za missionaries.