Mazda Premacy

I’m thinking of buying a spacious family car and I happened came across this model online.
Ningependa kujua maoni ya wale have came across this type. Kindly advice.
Regards.

Its a very reliable vehicle…I have had one since 2013…I have bought & disposed other vehicles but the reliability this Premacy has accorded me nimeshindwa kuiuuza bana…gari tamu sana

Sema tu poverty has been your best buddy since ‘13

I had seen Mazda Pregnancy

Bingwa Mcoondu haukuacha huu ufala wa kukojolea posts za watu?

Mwenye ameuliza about hiyo Mazda alikuwa anaexpect mature responses. Lakini wewe unafanya mambo ya Mchudhes hapa.

Hii gari utalilia kwa choo

Why

Descent car. You can get same car as Nissan Lafesta highway star if u want a better image. Hio rear independent suspension ni tamu sana, on an enthusiast point of view. One more thing: check underneath for rust. Last time i checked Mazda did not have a strong department in steel RnD.

Pale kwa Mazda forum, hii gari ni shida tupu. Wanaume wamelalamika sana. Go for other tried and tested makes.

Wacha nikuje

how about getting spare parts, fuelling and any issues with it?

what other 7seater family would you suggest for that type of budget…

Testicles poverty?..clowns who form an opinion about somebody’s Financial status because they have their read a review on something clearly displays their ignorance & their place in society materially…FYI that Premacy is the only asset in my name…everything else I own or is associated with me is owned by my various legal trading entities…with that said Testicles kua mpole ongea na Wazito Kama mimi uje how to make wealth not money & keep it

Spare parts are now readly available in the market as for me I import my own, Service kits, front & rear stabilizer & their links bushes, engine, gear box mounts , shocks & Solenoid senors ukiwa na hizo hiyo gari huwa haiitishi chuma ovyo ovyo

Inaonekana ni.shida juu mtu ananunua Gari ya pricey parts with a mentality parts zinauzwa bei kama ya nissan

Gari nzuri sana. Highly recommended.watu huservice gari ni kama ni probox ilhali fundi ni wa vichochoroni ndio huwa wakilia eti ni gari mbovu.

You could go for lafesta as a better pick. Why?

what about fueling na space ?

engines range between 2.0L - 2.4L in my experience its economical space hiyo gari mpaka na mizigo ni pickup…3rd row is quite spacious