katika familia za kiafrika hakukosi mtu mmoja kwa family ambae watu wanadharau lakini kuna issues flani za kifamily anakuaga important,tuseme anadharaulika sana sababu hana pesa ama yeye ni wale wa “twende unibuyie kikombe”…well that man in our family alikua Mbakuto or baluto,but juu sisi ni wakamba tulisettle kwa mbaluto,alikua mdogo wa my grandfather, mimi nikijanjaruka nilimpata akiwa around 60’s…kulingana na stori alikua amekataa kumarry hadi alipokua 40s akalazimishwa kumarry by grandfather, my grandfather ndie alikua 1st born kwao na alikua ni ex millitary alipigana WW2 ,he was no nonesense guy,so ikabidi wametaftia mbaluto bibi na since alikua amezeeka kiasi wasichana wadogo hawangekubali…so alioa mama flani amekomaa,alikua na watoi nne! wote wanawork.but as we all know mke wa kuletewa hamuwezi elewana,anakuona bwege…thats what happened to mbaluto,yule mwanamke alikua anamtesa sana…hampei chakula baya zaidi hampei nunu.ikafika mahali kila mtu anaishi kwa bedroom yake.ikawa mbaluto akiwa kwake anaangalia kwetu akiona moshi anajua tunapika,anakuja saa zile dish inapakuliwa,hadi watoi wakampa nickname “timing”… nahisi hio kufika wakati wa kufturu ndo sababu kubwa watu kumdharau…
my grandfather alipokufa,yeye ndie aliendesha shughuli zote kwa family ya my grandpa kama mzee....kuchukua mahari,kugawanisha mashamba na pia kuleta family pamoja wakati wa migogoro.mimi nikienda home nilikua nambuyia karubu chupa kadhaa...anway juzi juzi nikiwa hustle zangu nilipigiwa na cuzo wangu akaniambia mbaluto amekufa!..nikamuuliza kipi kimetokea....stori ilikua ivi........juu mbaluto alikua apewi mzigo alienda akatongoza kasichana flani since kakiwa class 6 hadi saa ii kako form 3 wakawa wanafuck sasa kasichana kakaamua kuanza kum blackmail... kanamwitisha doo na nguvu ama kakamseme kwa chifu...vile blackmail ilizidi mzee akakunywa sumu ya kuua ants akafariki.
.
.
RIP PETER MBALUTO ntamiss sana zile siku tulikua tunalewa karubu tunaongea kizungu nyingi