…na mbichi zitajulikana leo. Crybabies, the gunners, are quaking in their boots.
Tott’ham take on recently shaky city…how many suicides at the end of the day?
if city and arsenal lose today, Leicester stands a really good chance of taking the league
Totenham ni moto kama pasi sahii, Leicester City lazima walale.
Hii thread ilinipitaje…saigine weka title inamatch contents ya thread. Unaongeaje kuhusu Arsenali na mzito akose kujua. Anyway Arsenal tukikosa kushinda leo itakuwa sida coz nxt EPL games ni Man utd (away) alafu Tottenham
Apana tambua hizo zote, mpaka Leicester na Man-City.
nitahepa aje madam ndio nikaamua watch game,ako rada mbaya hadi anajua game zinaanza saa ngapi
Waaaa we have a date with MC…kwanza ni away siet
If she loves u tell her this match iko important to u. Watch it pamoja
Leo ni kubaya, ukitoka madam anafikiri umepeleka mpango Valentines.
The best result should be an all round draw for all teams.
itabidi nimempeleka lunch na tukae place stratagic(read karibu na a big ass TV) shida moja ni anakuanga na maswali zina irritate
Leo Arsenal watajua maana ya kitendo FIRWA.
Dhamiri zenu ziwasute. Leo Arsenali yashinda. COYG! UTA! COYG! UTA!
Arsenal watajua kwa nini kwa mbwa ni nje na kwa paka ni ndani?
HT,
Arsenal 0-1 Leicester.
Wenger out.
It will be a valentine to remember for the gunners…the title hopes will ditch them today.
Haters everywhere. Siwaoni sasa mkizungumza. Meffi.
Umeffi tu na wengine wako relegation dogfight
arse-annal won.
no suicides
Spurs has also won.