Mboga za mahari husaidia kutunza friendly bacteria

Kama uneshasikia kuwa tunaishi na friendly bacteria kwenye miili yetu. Bacteria hawa tunawahitaji

  1. Husaidia digestion hasa ya fibre
  2. Husaidia kubalance mafuta ya mwili kwa kuyeyusha excess body faty kuwa amino acid
  3. Kuimarusha immune system

Kenya maziwa ya kula angalau busy cucumber, nyanya, madani kidogo ya cabbage na carrot kwa siku. Unaweza kula kabla ya kwenda kulala wakati unaangalia news.

Utaona matokeo ndani ya mwezi mmoja, psychological changes utakuwa mtu wa furaha pamoja na physical changes.

Friendly bacteria kwa kiswahili…

Kidudu rafiki :D:D:D @Sky Eclat umepotea sana siku hizi.

i am lost madam. google translate inaniambia hivi…

mboga za mahari = vegetables dowry

Nimerudi niliwakumbuka sana

I got a headache reading this

I have edited the errors

They are not errors, just that watu hapa hawataki kujifunza lugha ya afrika mashariki.
Endelea kuleta nyuzi za namna hii. Kiswahili lazima kiendelezwe…na usiwape translesheni…

Kiswahili sio shida ndugu. Shida inajitokeza wakati mtu anapochanganya lugha mbili katika taarifa bila kuzingatia mfumo unaofaa kwa hivyo msomaji anajipata anakanganyika.

Communication is key. Not language.

niliwahi ona uzi kule ukisema juice ya stafeli ni nzuri kwani unaondoa bacteria wabaya na wazuri tumboni lakini sio ya kunywa kila siku kwani huuwa hata bacteria ambao wana faida kwetu tumboni kwani ukishawamaliza hao bacteria itabidi uanze tumia madawa ili kufanya mumeng’enyo wa chakula, je hili lina ukweli?

Naona waomba punyeto ya dada wetu kiplan.

fixed.
Kabisa afande:D