Mbogi inafanya kazi mzuri

What Jah bless na man curse.[ATTACH=full]255030[/ATTACH][ATTACH=full]255031[/ATTACH]

I hope hii hamjaunda na pesa ya wizi!

Chunga usisahau ukuje ujiibie madirisha plus vioo

Mawfi ya punda

hii nyumba ilikuwa ya mzae wako ni renovation unafanya, hii meter box na hio airvent ndio zimekuuza

and the workmanship is very poor, Labda mazdoor like @Randy ndio walikufanyia kazi

hapo kuna ka ukweli apan chesa na csi

Mawfi wacha wivu

Maliza that khasia. @johntez addi gaza msafi uta Hama lini chieth. Nduyo @tall mnyama everywhere alihama akakuwacha ukinyonya.

Mathais uza mkia Kama @Kimakia bila kunitaja

Ata na uchawi kuna vitu zingine i can’t imagine a fundi doing in my site…
Ebu weka ile pigsty yako ulikua umeweka tu tank twa 250l litres tuchambue.

Buda, sio kwa ubaya but io gutter box imekuuza…this is not a new house.
[ATTACH=full]255094[/ATTACH]

boss lazima tu ungenitaja?

Sio wewe uli rathwo juzi kule Kariobangi ukiwa na dame yako.
Sasa nilikula kuku bure kusherehekea

Pole to the family that you ibiad the house,hata hivyo Hui sio achievement

Wizi wewe