Meeeee Tooooooooo!!!!!! Bahati nzuri mzito fulani hapo alikuwa amechukua video kunguru asijue.

[ATTACH=full]247823[/ATTACH]

[ATTACH=full]247822[/ATTACH]

https://www.youtube.com/watch?v=L_lfCx-3IrY

I believe for all men from year 2019…don’t be naive… Record everything just in case. When you’re sure the bit.ch is dead now you can erase your folders.

:D:D:D how about that

wadau kwani huku kenya pia watu huekelewa rape… si hizo mambo bado kufika third world

Kama hiyo vid haingekuwa, wueh!!! Kidogokidogo interaction ikienda south na claim yoyote itokee, hata due process itabidi usahau. Back up kitu muhimu.

Feminists, men haters and Trump haters must be so pissed :D:D

Alafu hollywood feminist wanakuambia believe all women. :D:D:D

Kenya bado hatujafika hapo.

Kidogokidogo pia yeye ametajwa kwa scandal. Kama kuna ndume ilikuwa date mbaya alafu ile kuanikwa alianikwa, wacha tu! The ironic thing is that the guy, Aziz Anzari, identifies as a peculiar species of ‘male feminist’. Career yake iliungua tu ivo, the establishment wanted to hang him by his nuts in the public square. Mpaka wa leo sidhani kama amerecover. Ata Cuba ndio mwingine. Mguys amepelekwa korti tu juu ya kugusa ngeus alimtafuta kwa meza yake. Hizi streets sasa ni tafash na ukikaa vibaya utapangwa ukae square.

Kenya haijafika hapo, bado tuko stage ya mashoka, visu, na kuchafuana Facebook.

[ATTACH=full]247920[/ATTACH]

Thats true although he has a new special on netflix seems like he is slowly coming back to favour with the establishment. Lakini we are living in crazy times.

Watu hata hawataki kusikia #himtoo…Kama ule mhindi aliumishwa nje ya Uni ati juu mdem alipatana na yeye kwa bar akiwa tei akimsugua na kumpa mate ni kama mboyz anakufa dehydration. Mdem tu vile aligeuza story ati huyo mpanthree alikuwa aggressor na ati alimviolate, uyo jamaa alikutwa na campus police na akachujwa chuo. Ile ilimuokoa ni surveillance tape na dem kurecant iyo story. Story ni mob kama jamaa aliishia date na dem, dem akatei, wakaenda crib yake, nothing happened. Dem kuamka asubuhi akaitia uyo jamaa polisi. Jamaa akashikwa, akaenda trial. D.A ilibidi alenge iyo kesi juu medical report ilisema hakuna kitu ilifanyika, mind you, mdem aliendea iyo kit the day after the date happened. Mpaka wa leo, dem amewekea huyo mjamaa wanted, kwanza social media na kwa kazi. Uyo jamaa amelemewa kupata wax hadi saa hii.
Weh! Hizo vitu zimefanyikia hao wasee ni tragic. Reputation inakunywa maji ukiona na hakuna kitu utafanya.

kenya kukakua hivo, kila fisi ingeuma time ndani:D:D:D

Never believe a woman

Trump Ni musito

Siku hizi male bosses in the West wanakataa to mentor women juu ya hizi mastories. Due to this many women wanalia sana they are being ignored at workplaces. Even hanging out with female colleagues after work is problematic, many men wanahepa these women kama plague.

wewe ungekuwa USA mafeminazi wangekuwa wamekutupa Guantanamo bay kitambo sana.:D:D:D

As they should. Hiyo climate imekuwa ya kuonea ndume, sanasana our white brethren. Kama tu ni accusation inaumisha CEO na madirector, inabidi tu you just avoid interactions zingine, kwanza private ones ama ukuwe na chaperone. Imefika to a point inakaa an almost no-win scenario: either uitwe predator na pervert mtu akimisread situation ama a “misogynistic”, sexist bigot, a stumbling block to “female empowerment” in the workplace. Kwa wasee most, the latter ndio inakaa the safest choice, especially ikifika kwa wasee hawakutakii mazuri.

https://pics.me.me/grab-em-by-the-puthy-29536232.png