Wazito mnatumianga marashi gani?
mimi huoga na sabuni ya kipande nikimaliza najipaka sabuni kama
Mi situmiangi…lakini ngoja mabirrionea wakam wakujibu.
Unaoga na kipande ya mwarobaini unajipanguza na sandpaper. Unajipaka avocado unaishia job. Gay thread
Ktalk cologne insignia is old spice…case closed.
[ATTACH=full]141462[/ATTACH]
[ATTACH=full]141463[/ATTACH] [ATTACH=full]141464[/ATTACH] [ATTACH=full]141465[/ATTACH]
mangapi?
Nikiingia KPMG receptionist anatii…
[ATTACH=full]141466[/ATTACH]
Acqua di Gio- $87
Armani Mania- $62
Bulgari Aqua- $86
Bei za Dubai duty free, zangu mimi hutoa hapo. But you can get at half the price from wasee wa duty free JKIA, lakini ubaya unaweza chezwa uuziwe imbo.
niende hadi jkia?
[ATTACH=full]141467[/ATTACH]
Cobra si ile cologne ya kuspray maiti?
Tafuta wasee hufanya duty free ama kwa grounds za airport watakupatia link vile utaunganishiwa.
Mwanamume ni kunuka jasho
[ATTACH=full]141468[/ATTACH] [ATTACH=full]141469[/ATTACH]
:D:D
Spray ya maiti ni YU for men.
Na socks
Hehehe inatoa kutu Kwa makwapa
[ATTACH=full]141472[/ATTACH]
Nimepata hii