Mercedes

Hiyo gari ya hamilton inaenda wakumbwa. What can I do to my toyora niingie hoyp league.

Kojoa ulale

Fanya kazi kwa nguvu uingie league kubwa. Toycar utakuwa unaziangalia kwa mbali.

@Mzee mzima Kimundu wewe unapeleka nini. Mimi napeleka toyora na kila wakati namalizia 180kph nataka kitu inaongeza.

you ooooh tiiiiiii piiiiiiiii
Katiba ti thuruari~ wahome mutahi

Wishing Lewis ushindi huko Mecthico, haingewezekana USA?

Gari ni dereva I say.

Sell it; top up; buy a benz.

Jaribu Audi. S line iko na 280 kwa speedo

maisha ingine inakuchaguanga sio wewe unaichagua. Kama wewe ni wa kutumia city council parking badala ya private parking merci sio wako. kama wewe ni wa kungangana na manduthi huko downtown mkigwaruzana na probox merci sio wako. Kama wewe ni wa kuwachia wochi 20 bob akifungua gate merci sio wako. kama unaishi kwenye hakuna lami merci sio wako, ebu kwama na merci kwa matope uone raia ikikukamua mbuzi mzima.

pesa ngapi hio

kuna toyota subaru mahali limited ed

:smiley: enough for today, i sign out:D

from 2m xjapan

Ahaa mtu napeanga 20 bob ni wa pressure tu. nitanyemelea na c200 wakumbwa nione hiyo reliability ya germans vile inaambiwa ni mbaya ni ukweli.