Methali Za Wagenge

Ati Mwanamke Ni kama mabati, usipo mpigilia misumari vizuri, utampata kwa jirani.

Hadithi bila picha ni sawa na mutura bila nyama…

maskini akipata, vera sidika hulia mbwata

Chips ni Viazi.

Kitambi na mimba zote ni bidii ya mwanaume

[SIZE=7]MKULA HOHO HUNYAMBA HO-----HO[/SIZE]

Kama una watoto wa kike, jitayarishe kuwalea wajukuu, wanaume siku hizi hawaoi.

Mwanaume mwenye ball moja @Mundu Mulosi hukatia paka samaki (catfish) kwenye KTalk

Hate maji chafu huzima moto

Shimo mbaya ni la nyoka tu
Vitisho vya mashuzi havipasui suruali
Mkaa kaa na mbwa hujua kubweka
Akupatiaye mbaazi yuakutakia mashuzi

Tumbo ndio hushuta, matako ni spika tu.

kelele za mkundu hazibomoi choo

Kubembeleza Deorro ni kupiga maiti mswaki

Heri kumpa jirani kuliko kioze

Mwenda tezi na Omo mwishowe huoga na sabuni ya kipande.

Mwisho wa maji ni matope

CoGAYto ergo Diep unasumbua. Guok

"i need three serious strokes and im good. "~ @Mwendabai Albert

Asikudanganye mtu, siku zote kavu tamu

Bembe ni kusanduranira.

whatever the fuck that is.