MIGTOW na Wakubwa Saidia Tafadhali

Slayqueen anadai nimchangie thao anunue viatu za 1500. Mimi kama peasant nirisk hizi pesa za mjei ama nimshow achapie babake hiyo story?

Don’t be such a spirited miser, mpatie thao.

Thao si pesa ya kufikiria hiyo yote

amewai kutumia do?

Swali ni umemkamua Mara ngapi… Kama ni more than 3 tuma na usifkirie sana

Mwambie pesa yako ni ya kununua shamba na kujenga nyumba si kununua viatu.

Thanks mdau. Mara hiyo.

Nilimbreak uvargo man, but vile alirudi majuzi grip ilikuwa haiko. Nilikuwa disappointed chini ya maji.

S

Shida ni anaweza jam akazie slices maze.

Just be a gentleman
Mpatie hiyo thao!

scrotum nirushie thao ya konyagi

Konyagi ni 220

As a man, you must never undermine yourself. Kama unahitaji hiyo doh, use it! Whatever remains save kwanza umpatie baadae. Shoes are not urgent, your well being is.

:D:D

Exactly. That’s what was in my mind. Lakini vile majority wedai, wacha nimskumie.

Before umpatie jiulize kama wewe ungemuomba thao angekupea haraka hivo bila kufikiria

That’s another perspective. Utafanya nisitume banae.

Amewai nitumia mia mbili after kumuenjoy sina Sapa.

unaweza tuma

:D:D:D:D:D:D:D

Mara zaidi ya tano. Ushamaliza kama Maraga.