Habari zenu wote nimevutiwa na hi forum yenu nimeona nijiunge moja kwa moja naombeni mnikaribishe Mimi ni mtanzania
Leta report form tukague kwanza…meanwhile kuna bench apo inje
Karibu kaka. Feel at home…
wapi Ng’ombe zetu
Na vifaranga…
Mwenzako amekuletea kiti
[ATTACH=full]151747[/ATTACH]
Kikiki…seriously hizi picha za viti