MIMI NI MGENI

Mnikaribishe vizuri na matusi mueke mbali

makende ya siafu

Umejuaje maneno ya matusi kama we ni mgeni? Hii upuss ndio hatutakangi huku.

c

chunga sana vile unaongelesha landlord wako leo unaeza participate kwa hii kijiji ukiwa kwa baridi hapo nje… fuda

enda ukaulize hapo jevanjee gardens smoking zone

Karibu all hail the mighty general

Unmistakable.

Jubilee ama JiNASE mole?

[ATTACH=full]132873[/ATTACH]

Keti na ujitambulishe

ge

general wa nini??

politics aint my shit

fuda

m

meffi

Mjinga NV usijibu watu vile haujaulizwa.

chukua kiti na utulie
[ATTACH=full]132874[/ATTACH]

s

sawa sawa mtu ya ninii

NIAJE MUSUBCOUNTY

poa tu huku kunaendaje?? orientation nafanyiwa lini??

uko na KCr ngapi

Why are you s s s stammering ?