Minuno ya wanandoa wakiwa chumbani wakitoka nje wanajichekesha

Habarini,

Ila jamani wanandoa wengi wanajua kutuzuga sana.

Utakuta wakiwa ndani kwao mke na mume yani hawaongei.

Wengine hata kulala hawalali pamoja, wanalala vyumba vya watoto.

Wengine sebuleni ndio kitandani kwao wakati wa usiku.

Sasa wakitoka nje wanatudanganya kuwa wapo ok kumbe hawaposawa.

Ananisimulia dada mmoja baada ya kumfika kooni.

Mshaurini

@Demiss @Mwifwa njooni tukumbuke JF yetu…

Alikuambia wewe kama nani?

U

Dada yake…

Mwambie ajifunze kutunza siri za ndani…ona sasa amekuambia wewe na wewe umeyaleta huku

Toa ushauri…atunze siri ya nini wakati kuna watu wanashauri

Ugenini tunatakiwa tupendane tu hakuna namna ilo jibu sasa!!!

Aisee

Hahaha siri za ndan wanazitoa nje

Umeona mkuu…nashukiwa ka mwewe nimejificha uvunguni hapa

Huo ndio upendo wenyewe, ya chumbani yabaki chumbani, yasitoke sebleni hata kidogoa

Kuna wakati uvumilivu unashindikana…inabidi utafute ushauri kwa watu wa busara kama MMU

Ni kweli lakini inatakiwa uangalie pia watu wa kuwaomba ushauri, sio wote wanaweza kukushauri na kukutatulia kosa lako

Kweli kabisa mkuu…inabidi ushauri uupembue kama mchele…chuya utupe, mawe pia utupe na chenga utupe…ubaki na mchele wenyewe

Hapo ndio inatakiwa wawepo wenye busara kwenye kutoa huo ushauri

Mimi bado nina arostooo mwenzenu

Poleeee…

duuuuh Tz hawashindwiiiii

Umeona eeeh

nomaaah sana walifikir wametuweza

Tena sasa hivi ndio tunaingia siasani kwa fujo zote