Mkutano wa Kim na Trump: Kwanini Kim aliondoka na Kinyesi chake?

Kuna taarifa niliona kwenye mkutano dogo kiduku aliondoka na mavi akamwange nyumbani na walinzi wake walikuwa makini sana kukilinda.

Wajuzi tunaomba ufafanuzi?

Wakorea ya kaskazini wameaminishwa kuwa usimwamini mtu yeyote hata kama ni mzazi wako na ndiyo maana alipogundua mjomba ake,babake Mdogo na kakake wanataka kumpindua kwa kuwatumia wachina alianza kuwapunguza mmoja baada ya mwingine…kisa cha mwisho ni kile cha ndugu yake kupuliziwa simu alipokuwa uwanja wa ndege akikimbia.

Kwa hiyo kinyesi cha Trump kimeachwa huko huko Singapore? Duuu. Anarudi USA akiwa mtupuuuuu. Kama vile asubiri kuzikwaaaaa.

Aisee! Kumbe ndivyo ilivyo
Nalog off

Mambo ya Intelligence hayo. Tungekuwa na kina Malcom Lumumba na Infantry Soldier kama kule JF tungepata mtazamo wao hasa kijasusi na kidiplomasia

Hakuna la ajabu hapo.huyo kim anaogopa majasus wa USA wanaweza kuchukua kinyes au mkojo na wakajua hali yake kiafya ikoje…wanaweza tambua kama ni mgonjwa au kama kuna dawa anatumia n.k.

hii utani au kweli?

Labda anakunya mavi ya pink

Mkuu labda nikufahamishe kuwa hii sio mara ya kwanza Kim kuondoka na kinyesi na au mkojo wake. To be more precise, hata akiwa kwenye ziara za ndani ya North korea bado kinyesi/mkojo wake haviachwi ovyo. Lazima vyote vinabebwa kwenye gari lake maalum ambalo lina sehemu maalum kwa ajili ya kujisaidia.

Hata alivyoenda korea kusini hakuacha kitu, alikuwa na gari lake hilo hilo lenye sehemu maalum ya kujisaidia na kuhifadhi uchafu kama huo.

Sababu kubwa ni suala la usalama. Ni rahisi sana mtu kujua maisha yako binafsi kwa kuangalia aina ya chakula unachokula na maadui wakatumia njia hiyo kukumaliza. Lakini pia suala la magonjwa linaweza kugunduliwa kupitia kinyesi/mkojo na aina ya dawa unazotumia. Who knows, vipi kwenye kinyesi wakipata blood droplets, si ndo watajua almost kila kitu khs yeye?

Nahisi hata mate hatemi just like that

No tress at all,umenikumbusha usemi mmoja niliukuta kwenye hadithi za Jamest Hardley Chase,‘Don’t ever trust anyone,sometimes don’t even trust yourself’…

https://www.newshub.co.nz/home/world/2018/06/why-did-kim-jong-un-bring-his-own-toilet-to-the-singapore-summit.html

Nimekimbila haraka nikidhani kuna jambo la maana…kmbe ‘‘utumbo’’ tu…!!!

Kim alikumbuka kiss cha Fidel Castro,miaka ya 7o alipotembelea New York kuhudhuria mkutano wa UN,
Majasusi wa CIA wakadivert Bomba la maji machafu toka choo katika chumba cha Castro na kukinga uharo wa field marshal na kwenda kuufanyia analysis