Huyu bwana mara ya mwisho alisika akilishutumu binge kwa kushinda ku my impeach jiwe. Sasa haijulikani alipo.
Labda ile minyoo tumboni kwake imemzidi anashindwa kuamka.
Hahahaha huyu bhana kapotea sana kwa kweli
Kwan hamumuoni huko kazin kwake?
Siasa za sasa hivi ni ya one man show, ukijifanya unaongea kuliko yeye hata utendaji wa kijiji utaukosa, hapo alipo anaomba mungu wake wazidi kumsahau, ili ale pension yake bila pressure.
Kwa maneno yale aliyoongea yule mzee wa visasi hawezi kumwacha salama hata upite mwaka lazima amfanye kitu
Hivi alisemaje?
Tupieni speech yake hapa
Olesendekaaaaaaa where are you,njooo utusaidie kum impeach jiwe
Yuko sehemu kalewa chakariii madaraka. Pumbavu saana yule
Alisema bunge halina meno lingeweza impeachment kwa jiwe
Hivi Dugai hajafa tu!
Sukari na dalikimoko si mchezo
dalikimoko ndiyo nini jamani. Alikuwa mwimbaji mzuri wa muziki, tulicheza sana muziki wake
Unajua ugonjwa uliomuua?
Hapana ila wanamuziki wengi wamekufa kwa HIV
Basi jibu unalo
Nimekupata vema!
Ipo siku ataikana sauti yake