MMNN: beg borrow or steal, major auction coming up

Lease imeisha wanapata zingine mpya.
Thank me later. (ziko KVM)
[ATTACH=full]207682[/ATTACH]
[ATTACH=full]207683[/ATTACH]

[ATTACH=full]207684[/ATTACH]
[ATTACH=full]207685[/ATTACH]
[ATTACH=full]207686[/ATTACH]
[ATTACH=full]207687[/ATTACH]
Meria Advice, go for the Toyotas, Hino zina shida zake lakini acha tu.
ni hayo tu kwa sasa

why auction na hawana tools za kazi kufuata wezi??

Ile auction ya US Embassy nilifika pale heavily loaded…nikabeba Mali iko pale mashambani…wacha tutafte pesa tutatokea…I need one Mariamu for donkey work

shhhh, jubilee development

Hizo landcruiser mimi huzimezea mate tena sana. That car is a workhorse and work of art.

If I got one I would just remove the GOK emblems and do police work on weekends…imagine how much one can make.

hata wewe hujui leased vehicles si za serikali mbali ni za leasing company?

Hopefully batch si gari za china

shhhhhh
contract imeisha, this ones are deemed too old
kengele inalia soon
hope hazitaporwa crucial componenets kaa vile tunaona hapa port
ADVISORY: dont go fot the Hino
uliza kenya Mpya

NI MUNYUI TA ‘HINO’

Msaliti?

Si ulikuwa thuraku? Nini kimebadilika?

kitunguu inuke kwangu pia

When is the auction? Has anybody gone to one? What approximate price would a potential buyer expect to pay for Toyota pickup?

Heheheeee hizi zote.

Consult me for advice on the ones that you should pick.(I charge for that advice).

yes
waambie waongee na wazee

It’s been 4 years already. The next one kutakuwa na ma Peugeot na Subarus

keep it mmnn, utapata dates na location
beba cash

I just need the cruiser.

Hapo sawa.