Motorcycle importation

Anyone know a good company that can help me source,import and register motorcycles in Kenya

Unataka kuanza kuuza??

Zii.nataka tu moja.

Si ununue local

Labda anataka ile Ducati ya 1040cc… Sithani iko local io

Yamaha wamenishow hiyo nahitaji special order itachukua 4 months.na bei yao iko juu Sana. Nadai kitu ya 2017/8 not brand new.

Speed bike?

Boxer zinapatikana locally.

Mshow mahali ulibuy nduthi yako.

unataka gani and what do you ride currently? ama unadhani hizo ni kurukia tuu na kuenda?

Na si ununue vile ulinunua hiyo ‘R6’

Mtu ako na R6 sidhani kama angeuliza swali ya ujinga kama hii. Kuja tukimbize Bajaj Boxer bila kelele

Nduthi ziko pale Wendani mingi sana