Msaada Kwa Anayeijua Gari Aina Ya Toyota Camry

@Mshana Jr ,@prondo wakuu naombeni mnisaidie kuijua vzr hii gari

Mod msaada wa marekebisho,toyota camry

Camry ni generation moja na akina chaser na Mark ll za 90’s n 2000, onwards gari ngumu lakini sio maarufu Tanzania… You can purchase especially new model

Ahsante sana mkuu,ulaji wake wa mafuta na upatikanaji wa spare zake uko vipi?

Mafu

Mafuta inategemea na ukubwa wa machine spare zipo hasa hapa Kenya ni za kumwaga

Ahsante sana mkuu,nimevutiwa nayo sana hii gari,ngoja nijipange niibebe

Kwani upo Kenya we Mganga wa Kienyeji?