Mshawahi jiuliza kama hawa ma Chinese wako Kenya na Africa at large wenzao waki dedi huku kama hua wanarudisha maiti mtaani Shanghai Province kuzika ama kunaendanga aje?
Iko jamaa alinishow hua wanachomwa Kariokor pamoja na belongings zao- manguo, laptop, simu na takataka zote wanasahau hio story, inabaki kujulishana ocha kwao mtu wao aligenya.
Swali ni, hio ilikua jaba stories ama ilikua ni ukweli. Nataka kujua juu inakaa very interesting.
This is a very retarded question. Before ufikie Chinese, do you know that Muslims don’t transport bodies and one gets burried mahali amekufia within 24 hours?