Mt Kenya

Slow Saturday it is, inakaa jana mlikunywa sana. anyway Here is a picture of Mount Kenya - taken when the mountain was just 12 years old.
[ATTACH=full]8132[/ATTACH]

8 Likes

Boss! ni hangi ama ni what?? Please dilute whatever you are taking! Ati when it was 12yrs old !!!

1 Like

Its now old and has white hair (snow)

1 Like

Swag zilianza kitambo. Kikuyu warriors in combat gear in the 1920’s. [ATTACH=full]8133[/ATTACH]

5 Likes

Wow…i thought it was always big before even cameras were invented.if thats true then whats to stop another mountain cropping up in the middle of nowhere.

Maombi yako ya jana ni kama yalikwamia hewani,Haha!!! wii funny muno !!!

1 Like

Geography level troll!

Ati when it was 12 years old? Mwathani!!!..na si uweke recent pic na utwambie iko na miaka ngapi sasa.
Hiyo si hang’i…

1 Like

I always insist ile recipe ya mganga wa chemist husumbua watu sana.

1 Like

[ATTACH=full]8136[/ATTACH]
age: gojea @Luther12

1 Like

Wacha kupost selfies zangu ovyo ovyo.

1 Like

No comment.

1 Like

Lakini hao ma warriors na hizo jingle bell wamevaa kwa magoti, si watasikaka kutoka mbali vibaya. Hakuna element of surprise.

at that time men fought like men,hakukuwa na mambo ya kujifichio

Huh? Huuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh???

Wacha kina @Purr wakuone at your prime, wasifikiri ulizaliwa ukiwa bedford.
[ATTACH=full]8138[/ATTACH]

1 Like

Hio juu inakaa summer wear, hii July winter walikua wanavaa aje?

Warriors were warriors. Brute force was what mattered. Ati element of surprise, that was a sign of cowardice.

Warriors were warriors. Brute force was what mattered. Ati element of surprise, that was a sign of cowardice.

1 Like

So your telling me mtu kaa @Wakanyama angekuwa worrior hiyo time hakuna stori na ku take cover. Bahati yake he was with 5KR otherwise we could be saying @Wakanyama was K.I.A back when he was a worrior.

1 Like