[MEDIA=facebook]802448903294257[/MEDIA]
Muay thai ni noma utu jumaa tunakuanga tumekauka…ufc guys hawatoshi mboga
I was in Thailand, nikaenda ku-watch match ya Muay Thai, huto tumutu tumekauka kama simiti. Watching those guys fighting live was epic.
:D:DKajamaa kako na ufala mob sana…
kuna ingine niliwatch Purdy arms(karen). kenya vs uganda. wakenya kuna watu wamekauka
Hugo jamaa anadharau watu aje?
:D:D:D:D
Haka ni wakanyama na berndora tall midgets