MUHINDI

Mimi nishamalizana na muhindi from now tuonane na yeye next week monday!!!
Nyinyi wenye hamjafunga factory za kutengeneza food colour huko industrial area mnangoja nini??

hahaha

bado orders ni mob. Bonus itakua kofia na shopping voucher ya Tuskys

Enda upige kura

Hii mwaka nkajapata bonus ya ata T-shirt na Kofia ntasema areruya…Muhindi wangu namuonea 22…alianza kulia lia April kutu prepare psychologically eti sales za last year na this year zitafanya ashikwe na Blood pressure…isoryt…

Mimi miiindi amesema take work home. Today work was low…ameingia kwa store akapata tunafanya stock count, halafu mimi nilikua natembea nikiangalia saa na stress za weekend - ManUtd kulimwa!. Akashout sana “Epocho, apana tombea tombea hapa, wewe iko taka potesa kazi…mashahara yako iko kwa mafuko yangu!”
Bado nashindwa kama nitarudi job next week.

Ulipeleka utombi tombi kazi??

Hao wenyu ni wahindi mwitu… wako na kale ka dot ka red??

Sipigi

Hao wa kadot ni stingy sana… Wangu ni Ismailia and you know si wabaya sana

:):slight_smile: somehow, but he actually meant Tembea Tembea

Epocho niaje

:D:D

:D:D:D:D
Epocho wewe ni mjinga.

Poa uncle Uwes. Si unitumie hata unga ya ugali!