Mwalimu Nyerere aliwaambia ndugu zangu wa Kagera

Uchumi mnao ila mmeukalia" akimaanisha ardhi wao wakamwelewa tofauti

Walimuelewaje kwani wao?

Vipi, na wewe unatoka Kagera nini? Maana unawasemea…

Ila majibu wanayoyapata ndugu zetu wa Kagera! Mara ‘Uchumi mmeukalia’, mara ‘Serikali haijaleta tetemeko asiejenga nyumba yake shauri zake’, mara ‘Mbona nyie watu wa mkoa huu mnapata majanga sana? Huku tetemeko, huku UKIMWI’ Ili mradi maneno ya karaha na kuudhi tu

Hahahahaaaa… Jamaa aliamua kuwadiss bila kujali kuwa wamemlea…

Wahenga walisema shukrani ya nani sijui hua ni mateke

hahahaha sitoki kwa mashoga hao

[FONT=courier new]’ Threads ’ zingine bhana![/FONT]

Hazina kichwa, wala miguu

Poleni sana wanakagera
Nalog off