Mwanaume malaya unachukua kimada changudoa,mlango wa kando,mchepuko,shugamamy unaenda kufanya naye mapenzi kwenye kitanda unacholala na mke wako.
Kitanda kilichompa mimba mke wako huoni kama hiyo ni laana.
Huyu ndo mwanaume malaya kuliko wotee alafu mnatumia mashuka mnayolalia na mkeo wewe na kimada chako kufanya mapenzi nyauuuu wewe.
Kwanza huwa hata hamfurahii maana mnakuwa mnaongea polepole watoto wasisikie chumba cha pili unaweza kuta mchepuko ameondoka bila kuoga kwa hofu ya kuonekana kwa watoto asubuhi asubuhi raha gani mnapata au ndo kero tu .
Mwanaume malaya siku zote ni bahili wa kila kitu kwann usiende hotelini mkachukue chumba mjiachie kwa raha na kuepusha mikosi.
Mwanaume unayefanya haya ndo malaya sana ila anayeenda lodge or hotelin na kutumia pesa zake kupata furaha ya sex huyo siyo malaya ni sponsor anayefaa.