Mwanume mmoja nchini Marekani aamua kupiga simu ya dharula kwa polisi kuomba msaada baada ya kuona anafuatwa na nguruwe, akisema alikuwa hajui afanye nini.
Toa maoni yako
Me ningepiga simu kwa Shirima pale alete vijana wake tuwaishe mboga buchani
Angewapigua wauza supu angepata mkwaja
Nimemisi kichiri mbaya
Wanaume wa Dar huwa wanawala kwa beer hao
angeonekana tandale huku sidhani kama angechukua round…
Sasa huyo ni mwanaume wa Dar au mwanaume wa Marekani…
Alafu humu ndani wote ni ma- Villagers…
Cc: @Mahondaw
subiri wanaume wa daslam waje
tehteh… nilicheka sana leo Kuna koment moja eti haijalishi upo city center au kakonko sote ni villagers
Kwa sasa tutakuwa na wanaume wa Nairobi au Mombasa.
Huyo ni mdarisalama kaenda kutembea marekani…
KWANI HAKUWA NA KISU NYUMBANI KWAKE ALE NYAMA?
Atakuwa ama uhusiano na wamaume wa Dar
Duuuuuuuuu
Duh huyo shoGa, kidume unashindwaje cha kufanya