Mwanaume na usafi

A real man only cleans his mansion when a slay queen is about to visit him otherwise mwanaume ni uchafu kwa bedsitter. Don’t argue with me.
[ATTACH=full]162424[/ATTACH]

[ATTACH=full]162425[/ATTACH]

Buda hizo vidole joh. Ntakuwa na nightmare…

@uwesmake, please tell this guy something

Yaani kuna talker anaishi hivi?

Unakula nini supper?

,akiamka bangi,bangi ndio anatafuta.said jakuon sio Mimi nimesema.

Say no more
[ATTACH=full]162430[/ATTACH]

These fingers shit!:oops: How long have you been dead?

one time nilisema ganjaheads cannot manage their shit nikaambiwa inakuwaga a temporary thing - eti wakishikwa na cleaning bug they make everything spick and span - am i vindicated that fangi smokers are generally unkempt @WuTang?

Let me tell you my fren. Hiyo bangi itakulipua. Unaifuruta kimchezo mchezo saa hii coz probably una some new found freedom lakini ita mess your future kabisa. Punguza and aim kuiwacha.

[ATTACH=full]162432[/ATTACH]

leta hekaya buda

Go easy man. Huyu ni mwenzio pia.

Acheni boyshaod ajibambe ama vipi my frens?

ooooh…air freshner ni yakuua harufu ya ndom majirani wasimezee ufurushwe kwa ploti

air wick ni ya kuzuia mshuto ama

i don’t want to be harsh but is that young man living?

Mbona unajifanya unaongea kuhusu usafi when it’s really about bhang. It’s the one thing you are actively displaying kwa picha zako.

Bangi si mbaya.Ukiona mtu amerukwa na akili kuna added factors sio bangi

Vuruta bangi kabsa young man. Then that tattoo gives you away.

Maybe you dont know how akina @pamba identify culprits like you.