My Neighbor

Kuna huyu dem neighbor anaishi ground floor, ana haga bwaku lakini ako Na bwana. Bwanake hutoka asubuhi mapema Na tunakutananga Na yeye tukipanda mat kuenda job. So leo nimelemewa Na kahoma so nikadecide kutulia Kwa keja. Stomach zikapotea so nikadecide kutulia Kwa balcony nje nikisema gazeti ya githeri media. Unajua ukiwa Kwa balcony yamine hapo Chini opposite Ni nyuma ya huyu slay Queen. Leo nimeona kitu ikitendeka nikasema yenyewe ndoa Ni ngumu. Huyu slay Queen ameingiza msee Wa mogoka Kwa keja saa Sita saa hii ndio naskia kuna MTU anashower Kwa hiyo nyumba.

Video…

1.tafadhali ngurumisha ndudhi kwa amani na Vicks ama ROBB juu hiyo homa yako ni mambo mbaya,
2.Pia we anza kula mogoka uingizwe ndani ya keja na uruke shower

Jua 'mshahara wa mauti ni dhambi." Wavinya Ndeti

meaning ya slay queen ni haga kubwa?

NKT. Thenge

Hii ndio inaitwa umama. Achia housewives Wa bloti hivyo tabia.

:D:D:D

Sasa umesema nini ya muhimu?

Tumbo zilipotea ukaenda?

Ng’ombe

Not funny

Middle finger

So kunarrate hekaya Ni umama?

N

Ng’ombe

@Mosa nishakutambua

I hope you’ve not plagiarised this one too…

wasted my MBS on cricking…nkt

Kusorora ma neighbour halafu kupeana udaku.

Video Ni ya Nini ndio niclick?

Hii ujinga uko nayo ni kuzaliwa nayo au ulijifunza?